Watumiaji
Mtumiaji wa Mfumo wa SIS katika ngazi ya Shule
Mkuu wa Shule
Baada ya Mkuu wa Shule kusajiliwa na Afisa wa TEHAMA wa Halmashauri, yafuatayo ndio majukumu yake:-
- Kusajili na kusimamia watumiaji katika ngazi ya shule.
- Kugawa majukumu kwa watumiaji
- Kutengeneza mikondo
- Kuopanga walimu kwa madarasa.
- Kupanga walimu kwa Masomo
- Masomo kwa Madarasa
Mwalimu wa Darasa
Baada ya Mwalimu wa Darasa kusajiliwa na kupangiwa majukumu na Mkuu wa Shule, yafuatayo ndio majukumu yake:-
- Kuangalia na kuhakiki orodha ya wanafunzi katika darasa alilopangiwa.
- Kupanga wanafunzi katika mikondo iliyotengenezwa na Mkuu wa Shule na kupangiwa yeye.
- Kuchukua mahudhurio ya wanafunzi.
Angalizo
Mkuu wa shule ataweza kufanya majukumu yote kama baada ya kutengenezewa akaunti na Afisa TEHAMA wa Halmashauri